iqna

IQNA

Abu Torabi Fard
Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema, Wamarekani wanapaswa kuondoka eneo la Asia Maghariibi la sivyo watakabiliwa na hatima kama ille waliyokumbana nayo Afghanistan.
Habari ID: 3475523    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/22